logo

NOW ON AIR

Listen in Live

Serikali inataka kumkamata Babu Owino na Mimi-Seneta Olekina adai

Vinginevyo, alitangaza kuwa yuko tayari kukamatwa.

image
na Radio Jambo

Makala08 March 2023 - 14:37

Muhtasari


  • Madai yake seneta huyo yanajiri siku moja baada ya waziri wa mambo ya ndani Fred Matiang'i kuhojiwa na DCI
LEDAMA 2

Seneta wa Narok Ledama Olekina amedai kuwa serikali ya rais William Ruto inapanga kumkamata yeye na Babu Owino kabla ya maandamano kesho.

Olekina alisema ni wazi kwamba kuna kila aina ya majaribio ya serikali kumnyanyasa na kumdhalilisha kupitia mashtaka ya uwongo.

Vinginevyo, alitangaza kuwa yuko tayari kukamatwa.

"Yuko wapi rafiki yangu @HEBabuOwino Naelewa wananifuatilia mimi na wewe, wako busy kuandika taarifa za kutafuta mashtaka ya kukukamata wewe na mimi! Ngoja nishikilie maelezo yako niwaambie nipo tayari!"

Madai yake seneta huyo yanajiri siku moja baada ya waziri wa mambo ya ndani Fred Matiang'i kuhojiwa na DCI.

Madai yake yalizua tafrani katika mtandao wa twitter na hizi hapa baadhi ya hisia za Wakenya;

es&es@Es: Mende anatisha lakini ni muoga ajabu. Mende anakimbianga tu.Ona amefunga barabara zote zalink na state hao. Anaogopa nini?? Ona Ruto amejiprotect yeye na jamii yake kwa pesa yako na yetu.While Amekuacha wewe na jamii yako ujitetee.ngaii

TMo: Can't wait for you two to be arrested and charged in a court of law

Lawrence Kioko: If you did nothing wrong you shouldn't be afraid

Victor Kenei: I thought uko n Rungu!! Na uchunge tu isifunjike kaa siku ile.

Kamau: You overrate yourself too much kiongozi. Maybe you are just guilty.

 

 

 

 

 

 


RADIO JAMBO FREQUENCIES

Kisumu 100.1 | Mombasa 92.3 | Nakuru 96.9 | Eldoret 99.5 | Nyeri 99.3 | Nyahururu 97.3 | Webuye 95.3 | Meru 92.7 | Kitui 104.9 | Kibwezi 104.7 | Voi 105.7 | Malindi 98.1 | Lamu 104.7 | Narok 97.3 | Kapenguria 99.7 | Kisii 89.3 | Garissa 104.3 | Maralal 97.3 | Lodwar 92.7


logo© Radio Jambo 2024. All rights reserved