logo

NOW ON AIR

Listen in Live

(+ Picha) Kutana na binti mrembo wa Ali Hassan Joho

(+ Picha) Kutana na binti mrembo wa Ali Hassan Joho

image
na

Yanayojiri02 October 2020 - 04:30
jojo__1576751063_21248
Gavana wa kauti ya Mombasa Ali Hassan Joho amechapisha picha ya bintiye katika mitandao ya kijamii na kuwavutia wengi.

Ni nadra sana kumwona gavana Joho amechapisha picha ya watoto ama familia yake kutokana na usiri aliouweka wa familia.

https://www.instagram.com/p/B5-JKnUgyf9/

Mbali na siasa, Joho ni kati ya viongozi ambao wanapenda mitindo inayochipukia  ya mavazi.

Gavana wa Mombasa, bwana Hassan Joho na seneta wa Nairobi bwana Johnson Sakaja ni baadhi tu ya wanasiasa ambao mtindo wao wa mavazi unavutia wengi sana.

Mheshimiwa Joho anajulikana pia kwa ndevu zilizonyolewa kwa ustadi mwingi zaidi.

Zaidi ya hayo, Joho huongeza mapambo kama saa na miwani ambayo humfanya ang'are zaidi.


RADIO JAMBO FREQUENCIES

Kisumu 100.1 | Mombasa 92.3 | Nakuru 96.9 | Eldoret 99.5 | Nyeri 99.3 | Nyahururu 97.3 | Webuye 95.3 | Meru 92.7 | Kitui 104.9 | Kibwezi 104.7 | Voi 105.7 | Malindi 98.1 | Lamu 104.7 | Narok 97.3 | Kapenguria 99.7 | Kisii 89.3 | Garissa 104.3 | Maralal 97.3 | Lodwar 92.7


logo© Radio Jambo 2024. All rights reserved