logo

NOW ON AIR

Listen in Live

‘I’m marked for dead!’ Ujumbe wa mwisho wa muuaji aliyeuwa mwanafunzi wa chuo kikuu cha Meru

‘I’m marked for dead!’ Ujumbe wa mwisho wa muuaji aliyeuwa mwanafunzi wa chuo kikuu cha Meru

image
na

Yanayojiri02 October 2020 - 09:25
Kwa wafuasi wake anajulikana kama Bugii King Ihab lakini jina lake halisi ni Ihab Salim Kariuki, kulingana na ripoti ya polisi Bugii alihusika na kifo cha mwanafunzi wa chuo kikuu cha Meru.

Rodgers Opiyo alipigwa risasi katika eneo la Umoja na kuaga dunia papao kwa hapo, Bugii na denge walipofanya itendo hicho walikikmbia na kupotelea mbali huku wakiwa wamesahau kuwa mbio zao hazitawasaidia kwani mkono wa sheria ni mrefu.

Rodgers alipatana na mauti yake alipokuwa anaenda kumnunulia mama yake dawa wiki jana.

Mnamo tarehe 29 aprili, eneo la Ruiru Bugi alipigwa risasi na polisi baada ya kukimbizana na wao na kuwaonyesha mchezo wa paka na panya.

Bugii alihusishwa na mauaji kadhaa na hata wizi katika eneo la Umoja na nje ya kaunti ya Nairobi.

Kupitia mtandao wa kijamii wa instagram Bugi alikuwa na ujumbe ambao alikuwa ameunakili;

“EVEN THOUGH I AM MARKED FOR DEATH, I AM GONNA SPARK TILL I LOSE MY BREATH. I NO LONGER LIVE IN FEAR. MY PISTOL CLOSE IN HAND, CONVINCED THIS IS MY YEAR.” Aliandika.

katika post nyingine tarehe,12 Aprili aliandika ujumbe wa maana na wa ajabu

“ONE DAY YOU WILL BE JUST A MEMORY TO PEOPLE, DO YOUR BEST TO BE A GOOD MEMORY.”

Bugii na genge lake walikuwa wanakimbizana na polisi kwa pikipiki na kuiacha muda mchache baadae walipigwa risasi na polisi hao.

Polisi walisema kuwa walipata bunduki iliokuwa na risasi tano, kupitia mtandao wa kijamii waliandika;

Maarufu Zaidi

RADIO JAMBO FREQUENCIES

Kisumu 100.1 | Mombasa 92.3 | Nakuru 96.9 | Eldoret 99.5 | Nyeri 99.3 | Nyahururu 97.3 | Webuye 95.3 | Meru 92.7 | Kitui 104.9 | Kibwezi 104.7 | Voi 105.7 | Malindi 98.1 | Lamu 104.7 | Narok 97.3 | Kapenguria 99.7 | Kisii 89.3 | Garissa 104.3 | Maralal 97.3 | Lodwar 92.7


logo© Radio Jambo 2026. All rights reserved