Rodgers Opiyo alipigwa risasi katika eneo la Umoja na kuaga dunia papao kwa hapo, Bugii na denge walipofanya itendo hicho walikikmbia na kupotelea mbali huku wakiwa wamesahau kuwa mbio zao hazitawasaidia kwani mkono wa sheria ni mrefu.
Rodgers alipatana na mauti yake alipokuwa anaenda kumnunulia mama yake dawa wiki jana.
Mnamo tarehe 29 aprili, eneo la Ruiru Bugi alipigwa risasi na polisi baada ya kukimbizana na wao na kuwaonyesha mchezo wa paka na panya.
Bugii alihusishwa na mauaji kadhaa na hata wizi katika eneo la Umoja na nje ya kaunti ya Nairobi.
Kupitia mtandao wa kijamii wa instagram Bugi alikuwa na ujumbe ambao alikuwa ameunakili;
“EVEN THOUGH I AM MARKED FOR DEATH, I AM GONNA SPARK TILL I LOSE MY BREATH. I NO LONGER LIVE IN FEAR. MY PISTOL CLOSE IN HAND, CONVINCED THIS IS MY YEAR.” Aliandika.
katika post nyingine tarehe,12 Aprili aliandika ujumbe wa maana na wa ajabu
“ONE DAY YOU WILL BE JUST A MEMORY TO PEOPLE, DO YOUR BEST TO BE A GOOD MEMORY.”
Bugii na genge lake walikuwa wanakimbizana na polisi kwa pikipiki na kuiacha muda mchache baadae walipigwa risasi na polisi hao.
Polisi walisema kuwa walipata bunduki iliokuwa na risasi tano, kupitia mtandao wa kijamii waliandika;
