logo

NOW ON AIR

Listen in Live

Mwanaume ni familia:DJ Moz aonyesha wanawe waliokua kwa haraka

Mwanaume ni familia:DJ Moz aonyesha wanawe waliokua kwa haraka

image
na

Dakia-udaku02 October 2020 - 07:54
Katia tasnia ya nyimbo za injili imekuwa ikikumbwa na mambo tofauti huku ugomvi ukichangia kutengana kwa wasanii wa nyimbo hizo badala ya kuwaonyesha mashabiki wao mfano mwema na jinsi ya kuishi.

Lakini hili likiwepo si wote ambao wanaonyesha mfano usio mwema kwa mashabiki wao bali mfano mwema.

Kunao wachache ambao wana mfano mwema na miongoni mwao ni DJ Moz, ambaye kwa muda ameishi akiwaonyesha mashabiki na wanachi mfano mwema kila kuchao.

Moses Kimathi Mathenge almaarufu DJ Moz alimuoa mke wake Deborah miaka kadhaa iliyopita na kisha kubarikiwa na watoto watatu, harusi yao ilihudhuriwa na watu wa aina nyingi kwa maana ilikuwa ya kipekee.

DJ Moz amekuwa akiwashauri wengi kupitia neno la Mungu;

“AFTER WE HAVE WALKED AWAY FROM GOD AND FEEL LIKE WE HAVE WASTED OUR LIVES ON WORLDLY LIVING, MANY PEOPLE FEEL UNWORTHY AND UNLOVABLE TO COME BACK TO HIM. BUT HERE’S A GLIMPSE TO WHAT GOD DOES WHEN HE SEES US COMING BACK TO HIM: “SO HE GOT UP AND WENT TO HIS FATHER. “BUT WHILE HE WAS STILL A LONG WAY OFF, HIS FATHER SAW HIM AND WAS FILLED WITH COMPASSION FOR HIM; HE RAN TO HIS SON, THREW HIS ARMS AROUND HIM AND KISSED HIM. ‭‭LUKE‬ ‭15:20‬ ‭NIV‬‬.”

Wanawe Moses wamekua kwa haraka na hizi hapa baadhi ya picha zao;


RADIO JAMBO FREQUENCIES

Kisumu 100.1 | Mombasa 92.3 | Nakuru 96.9 | Eldoret 99.5 | Nyeri 99.3 | Nyahururu 97.3 | Webuye 95.3 | Meru 92.7 | Kitui 104.9 | Kibwezi 104.7 | Voi 105.7 | Malindi 98.1 | Lamu 104.7 | Narok 97.3 | Kapenguria 99.7 | Kisii 89.3 | Garissa 104.3 | Maralal 97.3 | Lodwar 92.7


logo© Radio Jambo 2024. All rights reserved