logo

NOW ON AIR

Listen in Live

Alikuwa mrembo:Tazama picha za mwendazake Maureen kabla ya kifo chake

Alikuwa mrembo:Tazama picha za mwendazake Maureen kabla ya kifo chake

image
na

Burudani02 October 2020 - 08:29
Msanii wa nyimbo za Ohangla  Lady Maureen ameacha urithi au kumbukumbu za nyimbo zake hii ni baada ya ntimbo zake kupendwa na mashabiki wake na hata wakenya wengi.

Maureen ameaga dunia asubuhi ya kuamkia jumamosi,11, julai, kwa muda amekuwa mgonjwa huku afya yake ikidorora kila mara.

Katika siku zake humu nchini aliimba nyimbo akiwasifi wanasiasa wengi hasa kinara wa chama cha ODM Raila Odinga, alifahamika sana kwa wimbo wake wa K'ogalo alipkuwa anisifu timu ya mpira ya Gor Mahia FC miongoni mwa nyimbo zingine.

Mwendazake ni miongoni mwa wasanii wa kwanza kuimba wimbo huku wakimsifu Barack Obama, miaka miwili iliyopita kabla ya kuwa mgonjwa maureen alizindua albamu yake ya mwisho inayofahamika kama 'Raila roho'.

Hizi hapa baadhi ya picha zake kabla ya kuwa mgonjwa na kuaga;

Maarufu Zaidi

RADIO JAMBO FREQUENCIES

Kisumu 100.1 | Mombasa 92.3 | Nakuru 96.9 | Eldoret 99.5 | Nyeri 99.3 | Nyahururu 97.3 | Webuye 95.3 | Meru 92.7 | Kitui 104.9 | Kibwezi 104.7 | Voi 105.7 | Malindi 98.1 | Lamu 104.7 | Narok 97.3 | Kapenguria 99.7 | Kisii 89.3 | Garissa 104.3 | Maralal 97.3 | Lodwar 92.7


logo© Radio Jambo 2026. All rights reserved