logo

NOW ON AIR

Listen in Live

'Nilifukuzwa kwa mume wangu kwa sababu ya kutopata mtoto,'Mwanamke asimulia

'Nilifukuzwa kwa mume wangu kwa sababu ya kutopata mtoto,'Mwanamke asimulia

image
na

Yanayojiri01 October 2020 - 09:34
Kila wanandoa wakifunga pingu za maisha na kukaa kwa mwaka au miaka kadhaa ni azma ya kila mmoja wao wapate mtoto wa kujivunia naye, wengi hupata bahati lakini wengine wanang'ang'ana ili wapate watoto.

Lakini sio wote ambao wanaweza subiri na kuwa na matumaini ya kwamba wanaweza pata mtoto siku za usoni huku wakwe wa upande wa mwanamume wakinoa visu mfurusha mwanamke huyo.

Hayo basi yakiwa yamesemwa mwanamke mmoja akupitia kwenye mitandao ya kijamii alisimulia jinsi alifukuzwa na wakwe wake kwa mumewe kwa sababu ya kutopata mtoto.

"Nimekuwa kwa ndoa kwa miaka saba sasa, wakwe wangu walinifukuza kwa mume wangu kwa maana sijafanikiwa kuwa na mtoto, baada ya iezi miwili nilienda kupimwa na kupatikana kuwa nina mimba

Sasa wanataka nirudi kwa mume wangu nifanyeje?"

Ni ujumbe ambao uliibua hisia mseto na hizi hapa baadhi za hisia za wanamitandao;

Eston snaidah: Many people go though hell so that God can be glorified, madam lea mtoto wako inamaana hawakupendi

Frdah-Ruth: kama your man didn't stop you wakati walikufukuza that means amekuchoka dadangu

Rose234: Hamna haja ya kurudi kaa na mtoto wako, your husband will come to you polepole

Maarufu Zaidi

RADIO JAMBO FREQUENCIES

Kisumu 100.1 | Mombasa 92.3 | Nakuru 96.9 | Eldoret 99.5 | Nyeri 99.3 | Nyahururu 97.3 | Webuye 95.3 | Meru 92.7 | Kitui 104.9 | Kibwezi 104.7 | Voi 105.7 | Malindi 98.1 | Lamu 104.7 | Narok 97.3 | Kapenguria 99.7 | Kisii 89.3 | Garissa 104.3 | Maralal 97.3 | Lodwar 92.7


logo© Radio Jambo 2026. All rights reserved