logo

NOW ON AIR

Listen in Live

Nilikosana na mke wangu kwa sababu sina pesa mimi ni hustler

Baada ya kyfanya juhudi zetu za kumigia mke wake simu alikuwa na haya ya kusema,

image
na Radio Jambo

Yanayojiri04 November 2020 - 05:56

Muhtasari


  • Bwana yangu huwa akipata pesa anahesabia kwa bafu
  • Mke wangu aliniacha kwa maana sikuwa na pesa

Bwana Abraham alituma ujumbe apatanishwe na mke wake ambaye walikosana naye wiki mbili zilizopita.

"Nilioa mke wanu mika miwili iliyopita, mimi sina kazi mimi huwa nafanya vibarua yaani mimi ni hustler, siku moja nilitoka kuenda kutafuta kazi niliporudi nilipata amerudi kwao na wala hakuniambia sababu lakini najua ni kwa ajili sina pesa." Alieleza Abraham.

Baada ya kyfanya juhudi zetu za kumigia mke wake simu alikuwa na haya ya kusema,

 

"Huyu mwanamume likuwa ananiacha nyumbani bila chakula wala pesa, akipata pesa anahesabia kwa bafu alafu ananiletea badala anipe pesa kama mwanamk wa nyumba ni nunue bidhaa yeye mwenyewe anaenda kununua 

Anitumie nauli basi nirudi."

Mkewe Abraham alikata kauli hiyo baada ya Abraham kuomba msamaha, je maoni yako ni yapi?


RADIO JAMBO FREQUENCIES

Kisumu 100.1 | Mombasa 92.3 | Nakuru 96.9 | Eldoret 99.5 | Nyeri 99.3 | Nyahururu 97.3 | Webuye 95.3 | Meru 92.7 | Kitui 104.9 | Kibwezi 104.7 | Voi 105.7 | Malindi 98.1 | Lamu 104.7 | Narok 97.3 | Kapenguria 99.7 | Kisii 89.3 | Garissa 104.3 | Maralal 97.3 | Lodwar 92.7


logo© Radio Jambo 2024. All rights reserved