logo

NOW ON AIR

Listen in Live

17 wafariki huku 727 wakiamvukizwa Corona

Mwangangi  kuna wagonjwa 1,196 waliolazwa katika hospitali mbali mbali  nchini huku wengine 7,139 wakiwa chini ya mpango wa utunzi nyumbani .

image
na Radio Jambo

Habari24 November 2020 - 12:54

Muhtasari


 

  • Mwangangi  kuna wagonjwa 1,196 waliolazwa katika hospitali mbali mbali  nchini huku wengine 7,139 wakiwa chini ya mpango wa utunzi nyumbani .
  • idadi ya waliofariki imeongezeka hadi watu 1,409 baada ya watu 17 zaidi kuaga dunia kwa ajili ya Corona .

 

Kenya  siku ya jumanne imesajili visa vipya 727 vya corona baada ya sampuli  4,913 kupimwa katika saa24 zilizopita na kufikisha jumla ya visa vya ugonjwa huo nchini kuwa 78,512 amesema katibu wa uatawala wa afya Mercy Mwangangi .

 Kutoka visa hivyo  705 ni wakenya ilhali 22 ni raia wa kigeni .idadi ya waliofariki imeongezeka hadi watu 1,409 baada ya watu 17 zaidi kuaga dunia kwa ajili ya Corona .

 Mwangangi amesema mgonjwa wa umri wa chini  ni mtoto wa miezi minn ilhali wa umri wa juu ana miaka 88 . watu 806 wamepona  na kufikisha 52,709 idadi ya watu waliopona Corona  nchini .

Mwangangi  kuna wagonjwa 1,196 waliolazwa katika hospitali mbali mbali  nchini huku wengine 7,139 wakiwa chini ya mpango wa utunzi nyumbani . Jumla ya wagonjwa  51 wapo katika UCU

 


RADIO JAMBO FREQUENCIES

Kisumu 100.1 | Mombasa 92.3 | Nakuru 96.9 | Eldoret 99.5 | Nyeri 99.3 | Nyahururu 97.3 | Webuye 95.3 | Meru 92.7 | Kitui 104.9 | Kibwezi 104.7 | Voi 105.7 | Malindi 98.1 | Lamu 104.7 | Narok 97.3 | Kapenguria 99.7 | Kisii 89.3 | Garissa 104.3 | Maralal 97.3 | Lodwar 92.7


logo© Radio Jambo 2024. All rights reserved