logo

NOW ON AIR

Listen in Live

Wanawake,pesa:Mambo yanayosababisha Kuanguka kwa kila mwanamume wa Kenya

Upendo ni kama kipepeo: bila kujali jinsi tunavyokuwa vigumu kuifukuza, hatuwezi kuipata.

image
na Radio Jambo

Yanayojiri17 September 2021 - 22:06

Muhtasari


  • Mabadiliko ni kuepukika, lakini haiwezi kulazimishwa. Na kuishi wakisubiri mpenzi wako kubadili ni wajinga
  • Upendo unahusisha kutofaulu. Hebu mpenzi wetu asiwe mkamilifu, hebu tumpende na ukosefu wake wote
money-more

Mabadiliko ni kuepukika, lakini haiwezi kulazimishwa. Na kuishi wakisubiri mpenzi wako kubadili ni wajinga.

Upendo unahusisha kutofaulu. Hebu mpenzi wetu asiwe mkamilifu, hebu tumpende na ukosefu wake wote.

 Kwa hali yoyote, upendo sio pamoja, sio upendo.

Kwa hiyo, simama kutafuta na kumtumikia mpenzi wako wakati hawafikii matarajio yako.

Upendo ni kama kipepeo: bila kujali jinsi tunavyokuwa vigumu kuifukuza, hatuwezi kuipata.

Tunapozingatia mambo yetu ni wakati upendo unategemea kimya kimya. Fanya kile unachopenda kufanya na kupenda kukufuata.

Wanaume wengi wamewalaumu wanawake wengi kwa kuanguka kwao, kwani kabla ya kupatana na mwanamke wake alikuwa anaendelea vyema na kuona maisha yake ya kesho, lakini punde alivyopatana na mwanamke huyo maisha yake yaligeuka na kuanguka.

Wanawake, unakubali kwamba tunaweza kuwa tatizo ambalo wanaume huenda wamejaribu kukabiliana kwa muda mrefu zaidi? Lakini wanaume ni sisi kwa kweli?

Labda wanawake sio pekee ambao wanaume wanapaswa kuepuka.

1.Pombe

Baadhi na asilimia kuwa ya wanaume hasa wenye umri wa kati, wamepotoshwa na pombe, mwanamume akijua ana pesa ataenda klabu kunywa pesa zake zote bila kufikiria kuwekeza na kuweka akiba ya maisha yake ya kesho.

POmbe inaweza kumfanya mwanamume kuanguka na kuacha kuwa makini na maisha yake.

2.Pesa

Ndio walisema tumia pesa ikuzoee, lakini kuna wale wanaume watatumia pesa zao kwa mambo yote mabaya, tumeona na kushuhudia baadhi ya wanaume wakiwacha familia zao na kuenda kujivinjari na wanawake kwa sababu ana pesa za kutosha.

3.Wanawake

Chanzo kubwa cha mwanamume kuanguka katika maisha yake ni wanawake kama vile wengi wanavyosema

KUna mwanamke atakupenda kwa ajili ya pesa zako na kisha akimaliza na kuhakikisha amefilisisha maisha yako anakuacha.

Je ni mambo mengine yapi yanaweza kuangusha mwanamume?

 

 

 

 


RADIO JAMBO FREQUENCIES

Kisumu 100.1 | Mombasa 92.3 | Nakuru 96.9 | Eldoret 99.5 | Nyeri 99.3 | Nyahururu 97.3 | Webuye 95.3 | Meru 92.7 | Kitui 104.9 | Kibwezi 104.7 | Voi 105.7 | Malindi 98.1 | Lamu 104.7 | Narok 97.3 | Kapenguria 99.7 | Kisii 89.3 | Garissa 104.3 | Maralal 97.3 | Lodwar 92.7


logo© Radio Jambo 2024. All rights reserved