Waziri wa mambo ya nje na ushirikiano wa Afrika Mashariki wa Tanzania January Makamba amesema kuwa mashauriano katika ukanda wa Afrika mashariki juu ya uenyekiti wa umoja wa Afrika unaendelea na ikifika wakati muafaka Tanzania itatoa kauli yake.
Makamba ameyesema hayo wakati wa mazungumzo maalum na mwandishi wa BBC Leornad Mubali.

© Radio Jambo 2024. All rights reserved