Na wengine wengi waliweza pia kumpongeza atakuwa mwenyeji wa kipindi cha 'Uncripted'.
Mkuu wa uzalishaji yaani kimombo (Head of production) Justus Tharao aliweza kusema kuwa Grace anaenda kujiunga na kampuni hiyo ya ntv.
Mashabiki wengi walimpongeza na kusema wanamgonja kwa hamu ilikumuona katika kipindi hicho.
