Baadhi ya watumizi wa mtandao wamemlaani kwa kuwahaibia sifa wasanii wengine wanaoimba gospel halisi ingawaje kuna wachache ambao wanamtetea Willy Paul wakisema ana uhuru wa kuimba anavyotaka . Iwapo unampebda Poze au nyimbo zake ,basi ‘Lamba nyonyo’ itakufanya uamue kukata uamuzi kumhusu au kumkubali jinsi alivyo . Iwapo Willy Paul alichanganywa na Jina 'Lamba lolo' au 'Wamnyonyez' ni mungu pekee ajuaye kwa sababu yake sasa yamegeuka mazito and 'i gif up'!





© Radio Jambo 2024. All rights reserved