logo

NOW ON AIR

Listen in Live

Nitakupa ''kisima cha asali'' ndio uwachane na mimi! Huddah amwambia Khaligraph

Nitakupa ''kisima cha asali'' ndio uwachane na mimi! Huddah amwambia Khaligraph

image
na

Habari02 October 2020 - 05:54
pjimage (11) (1)
NA NICKSON TOSI

Cheche za maneno baina ya Huddah Monroe na Khaligraph Jones zaendelea katika mitandao ya kijamii, na sasa mwanasosholaiti Huddah Monroe amedai atampa kisima cha asali Khaligraph Jones ndiposa awachane na yeye.

Mzozo baina ya wawili hao unajiri baada ya Khaligraph kudai kuwa Huddah alidinda kushika simu yake, swala ambalo liliibua mzozo baina yao.

Khaligraph aliandika haya baada ya Huddah kudinda kushika simu yake.

"Huddah masimu hashiki, anadhani mimi najaribu  kumpiga miti. Mimi nina mke sipendi hizo kiki,"  Aliandika Khaligraph.

Kama njia ya kujibu madai ya Khaligraph Jones, Huddah aliandika hivi katika mitandao yake ya kijamii.

"Daddy Jones, Nitakupa kisima changu cha asali  ili uachane na mimi!" Aliandika Huddah.

Hapa ni baadhi ya maoni ya watu walioona jumbe hizo.

Barsil:@huddahthebosschick ai na wewe utadi**wa uache kiherehere

Husband: @huddahthebosschick woiyee babe mdi*ye tu ameomba sana

Mao: @huddahthebosschick ni juzi tu ulisema hujui ngoma zake hata moja😂😂 Saa hii umejua Jones ni daddy😂😂😂

Ommy Dimpoz: Heshimu OG 🤣

Mhariri: Davis Ojiambo


RADIO JAMBO FREQUENCIES

Kisumu 100.1 | Mombasa 92.3 | Nakuru 96.9 | Eldoret 99.5 | Nyeri 99.3 | Nyahururu 97.3 | Webuye 95.3 | Meru 92.7 | Kitui 104.9 | Kibwezi 104.7 | Voi 105.7 | Malindi 98.1 | Lamu 104.7 | Narok 97.3 | Kapenguria 99.7 | Kisii 89.3 | Garissa 104.3 | Maralal 97.3 | Lodwar 92.7


logo© Radio Jambo 2024. All rights reserved