Ifahamike kuwa Wema na Diamond walikuwa wamepenzi wa dhati na ikadhaniwa kuwa huenda wawili hao wangeona japo mambo yakaenda shoro boro.
Kupitia ukurasa wake, Wema ameshindwa ni kwa nini wanaume hawawezi kutosheka na mwanamke mmoja.
ILA WANAUME… WHAT DO MEN REALLY WANT…???
Swali hilo aliliuliza wakati akirejelea picha ambayo Tanasha alikuwa ameiweka mitandaoni.