logo

NOW ON AIR

Listen in Live

Al Ahly Ya Misri Yazungumzia Tetesi Za Kufukuzia Saini Ya Cristiano Ronaldo

Hata hivyo, uwezekano wa Ronaldo kuelekea Misri unabaki na nafasi finyu baada ya ripoti kutoka klabuni kuibuka kwamba Al Ahly hawako na mpango wa kumsajili Ronaldo.

image
na MOSES SAGWEjournalist

Michezo10 December 2024 - 16:26

Muhtasari


  • Ripoti hizi zinachipuka wakati ambapo kuna uvumi kwamba Ronaldo yuko tayari kushiriki katika michuano ya FIFA Club World Cup, baada ya klabu yake ya Al Nassr kufeli kujishikia nafasi.