“Ilikuwa ‘Kosa Kubwa’ Kuenda Arsenal” – Ozil Amfichulia Mchezaji Mwenza Wa Zamani
Ozil alifunga mabao 44 na kutoa pasi za mabao 75 katika mechi 254 alizoichezea Arsenal, baada ya kujiunga na klabu hiyo akitokea Madrid kwa pauni milioni 42.5 mwaka 2013.
Kwa mujibu wa Khedira, Ozil aliwahi mdokezea kwamba
kuondoka kwake Madrid kuelekea Arsenal lilikuwa ni “kosa kubwa”.
Ozil alifunga mabao 44 na kutoa pasi za mabao 75
katika mechi 254 alizoichezea Arsenal, baada ya kujiunga na klabu hiyo akitokea
Madrid kwa pauni milioni 42.5 mwaka 2013.