logo

NOW ON AIR

Listen in Live

Soma alichoambiwa msanii Rayvanny baada ya kuposti picha akiwa na msanii Zuchu

Pia baadhi ya mashabiki walimwambia awawachie mrembo huyo.

image
na Radio Jambo

Burudani10 November 2020 - 06:40

Muhtasari


  • Mashabiki watoa hisia tofauti baada ya Rayvanny kuposti pocha akiwa na msanii Zuchu
rayvanny

Msanii wa nyimbo za bongo kutoka Tanzania Rayvanny ni mmoja wa wasanii bora barani Afrika, kupitia kwenye ukurasa wake wa Instagram alipakia picha yake na msanii mwenzake Zuchu huku ikiibua mjadala kwenye mitandao hiyo.

Wengi wa mashabiki walisema kuwa ni kibao kipya ambacha wawili hao wanatarajia kuwapa mashabiki wao ilhali wengi waliwalinganisha na msanii Harmonize ambaye alitoa kibao chake akimkashifu Diamond.

Pia baadhi ya mashabiki walimwambia awawachie mrembo huyo.

Hii hapa picha hiyo, je wafikiria nini kuhusu picha hiyo?

Hizi hapa baadhi za hisia za wanamitandao na mashabiki wao;

mouh_atl: @rayvanny Mwenzako katoangoma inaitwa ushamba jitahid tutolee ngoma iitwe chitoholi

officialskyle: Rayvanny si uachie

r.mwaka: Goma la kutikisa jiji linakuja hilo sio bure πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯

wema_sepetu_lover: Chui achia bomu hiloπŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯

ophorotube: Kaka tuachie hii

 

kakitu05We: Chuiii ebu fumua mzee baba..πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯

chombo_lidondoo: Jaman🀯🀯uyo sizuchu uyooo

mouh_atl: πŸ’₯πŸ’₯πŸ’₯πŸ’₯πŸ’₯ ngoma au ndiyo unabonyeza

_sta.rk: Wataweza kweli.!?

rc_kweka: Kuna nini tena kaka #em subiri kidogo dogo janja @harmonize_tz ametoa kavidio Leo angalau kaskike skike bna usimfanyie ivyoooπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ plzzzzzz @rayvanny


RADIO JAMBO FREQUENCIES

Kisumu 100.1 | Mombasa 92.3 | Nakuru 96.9 | Eldoret 99.5 | Nyeri 99.3 | Nyahururu 97.3 | Webuye 95.3 | Meru 92.7 | Kitui 104.9 | Kibwezi 104.7 | Voi 105.7 | Malindi 98.1 | Lamu 104.7 | Narok 97.3 | Kapenguria 99.7 | Kisii 89.3 | Garissa 104.3 | Maralal 97.3 | Lodwar 92.7


logoΒ© Radio Jambo 2024. All rights reserved