logo

NOW ON AIR

Listen in Live

Liverpool yazidisha rekodi ya matokeo bora msimu huu

Liverpool haijapoteza mechi katika michuano ya klabu bingwa barani Ulaya

image
na Brandon Asiema

Football11 December 2024 - 10:17

Muhtasari


  • Miamba hao wa soka wanaonekana kuwa na hamu ya kutwaa kombe ya UEFA baada ya kulipoteza kwenye fainali kwa Real Madrid katika msimu wa 2021/2022.
  • Liverpool kufikia sasa imepoteza mechi moja pekee yake, kutoka sare mechi mbili na kushinda mechi kumi na moja kwenye ligi kuu ya Uingereza msimu huu 2024/2025.