logo

NOW ON AIR

Listen in Live

Mwanawe aliyekuwa makamu wa Rais Kijana Wamalwa ameaga dunia!

Mwanawe aliyekuwa makamu wa Rais Kijana Wamalwa ameaga dunia!

image
na

Burudani02 October 2020 - 04:23
wamalwa
Waziri wa Ugatuzi Eugene Wamalwa amesema kuwa uchunguzi utafanywa kwa mwili ya William Makali hapo kesho kubaini sababu cha kifo chake.

William Makali alikuwa mwanawe makamu wa Rais marehemu Kijana Wamalwa.

Waziri huyo alisema kuwa William aliaga dunia jumapili jioni baada ya kukimbizwa hospitalini kupata matibabu.

Eugene aliongeza kuwa William alikuwa buheri wa afya siku ya jumamosi na hata alishinda na marafiki wake, lakini siku ya jumapili alipatikana nyumbani kwake kama amepoteza fahamu.

 Waziri huyo alieleza kuwa mipango ya mazishi imeanza na William atazikwa jumamosi ijayo.

Vile vile alisema famila itatoa ripoti ya sababu cha kifo chake baada ya kutolewa kwa postmoterm.

William alikuwa mwanafunzi katika chuo kikuu cha Nairobi.

Maarufu Zaidi

RADIO JAMBO FREQUENCIES

Kisumu 100.1 | Mombasa 92.3 | Nakuru 96.9 | Eldoret 99.5 | Nyeri 99.3 | Nyahururu 97.3 | Webuye 95.3 | Meru 92.7 | Kitui 104.9 | Kibwezi 104.7 | Voi 105.7 | Malindi 98.1 | Lamu 104.7 | Narok 97.3 | Kapenguria 99.7 | Kisii 89.3 | Garissa 104.3 | Maralal 97.3 | Lodwar 92.7


logo© Radio Jambo 2026. All rights reserved