Wambui alipoteza baba yake hapo awali na alikuwa na ndugu mmoja tu.
Pia waliohudhuria ni mama na dadake Bob Collymore pamoja na mamake Wambui Profesa Njeri Wamae.
Kung’u Muigai aliwakilisha familia ya Wambui Kamiru na akazungumzia kuhusu uhusiano wake na familia. Pia alizungumzia kansa, ugonjwa ambao unaua wengi duniani kote.
Bob aliaga dunia akiwa na umri wa miaka 61.
Baadhi ni picha za nduguye Wambui,
Nduguye Wambui
Mamake Bob
Dadake Bob
