logo

NOW ON AIR

Listen in Live

Kubarikiwa nayo:Picha ya Lulu Hassan na wanawe yawapendeza wengi

Kubarikiwa nayo:Picha ya Lulu Hassan na wanawe yawapendeza wengi

image
na

Patanisho01 October 2020 - 10:04
Mwanahabari Lulu Hassana na mumewe Rashi Abdalla kwa kweli wamebarikiwa na watoto wenye urembo wa kupindukia na wa kipekee.

Wawili hao wamebarikiwa na wana watatu, wavulana wawili na msichana mmoja.

Awali kifungua mimba wa wawili hao alifikisha miaka tisa na walimuonyesha upendo wao kwake;

"Uwepo wako umepea maisha yangu maana na kusudi Happy 9th birthday mwanangu rafiki yangu wa karibu, Jibby wangu mshauri wangu." Ulisoma ujumbe wa Lulu.

Kupitia kwenye mitandao ya kijamii Rashid aliposti picha za wanawe na kuandika ujumbe huu;

#SISEMIKITU JESHI LA MTU MMOJA🙏  the Mwajita's." Aliandika.

Mashabiki wake walipendezwa na pichha hiyo na walikuwa na haya ya kusema.

jeridah.andayi My oh my ❤️❤️❤️

massawejapanni You’re family is beautiful 😘😘😘

mercykandie Ayayayaya… The team …the main crew 😍😍😍😍😍 🙌🙌🙌

beautifulyounglady2020 Lovely family photo ❤️

foziahmustafa Cute family

mercykandie Ayayayaya… The team …the main crew 😍😍😍😍😍 🙌🙌🙌

vickyobware Beautiful family

terrynzau Lovely fam. You are blessed

nakshi_nyner Lovely family…

brenda.nyongesa Beautiful people🔥

Maarufu Zaidi

RADIO JAMBO FREQUENCIES

Kisumu 100.1 | Mombasa 92.3 | Nakuru 96.9 | Eldoret 99.5 | Nyeri 99.3 | Nyahururu 97.3 | Webuye 95.3 | Meru 92.7 | Kitui 104.9 | Kibwezi 104.7 | Voi 105.7 | Malindi 98.1 | Lamu 104.7 | Narok 97.3 | Kapenguria 99.7 | Kisii 89.3 | Garissa 104.3 | Maralal 97.3 | Lodwar 92.7


logo© Radio Jambo 2026. All rights reserved