logo

NOW ON AIR

Listen in Live

Mimi Bado Single! Afichua Mwanahabari Tina Masika

Mimi Bado Single! Afichua Mwanahabari Tina Masika

image
na

Habari01 October 2020 - 17:51
17492782_10213145739988241_8118005964286146090_o
Unamfahamu kwa sauti yake nyororo katika usomaji stadi wa habari, lakini je unafahamu kwamba  kuna mengi kumhusu Tina Masika Mwana wa Ngema.

Swali langu la kwanza kwake nilitaka kujua kama amechukuliwa. Doh, kicheko alichotoa hapo, usiulize. ''limradi sijaolewa bado niko single''. Ndo lilikua

jibu lake. Najua mabachela wanafurahia kwa  mtoto natural, wenyewe watakwambia. Mabinti wengi hupenda kujichubua kuweka nywele sijui makemikali , lakini Tina anasema hupenda sana kuweka nywele zake natural na itasalia hivyo.

Kwa sababu mtoto wa pwani basi ukitaka kumshika kwa urahisi, mpikie ugali na mkunde wa nnazi.

Mambo anayopenda kujishughulisha nayo asipokua kazini ? Kuogelea, kusoma vitabu, kutembea, ni baadhi tu .

Kwa picha hii, pengine utauliza ni mwanamitindo. Wala hasaha ni kujifurahisha tu.


RADIO JAMBO FREQUENCIES

Kisumu 100.1 | Mombasa 92.3 | Nakuru 96.9 | Eldoret 99.5 | Nyeri 99.3 | Nyahururu 97.3 | Webuye 95.3 | Meru 92.7 | Kitui 104.9 | Kibwezi 104.7 | Voi 105.7 | Malindi 98.1 | Lamu 104.7 | Narok 97.3 | Kapenguria 99.7 | Kisii 89.3 | Garissa 104.3 | Maralal 97.3 | Lodwar 92.7


logo© Radio Jambo 2024. All rights reserved