logo

NOW ON AIR

Listen in Live

Simuachi nampenda,'Paula Kajala awajibu wakosoaji wake

Pia aliendelea na kusema kwamba wakosoaji wake wana wivu.

image
na Radio Jambo

Habari05 November 2021 - 15:20

Muhtasari


  • Paula Kajala awajibu wakosoaji wake

Siku chache msanii maarufu wa Tanzania alivuma mitandao baada ya mwanaharakati  Mange Kimambe kufichua na kumshutumu Rayvanny kwa mdanganya mpenzi wa muda mrefu Paula  Kajala baby mama wake Fahyma.

Madai hayo yalikuja naujumbe mrefu ya sosholaiti huyo ambapo wawili hao, Rayvanny na Fahyma walikuwa wameonekana wakijivinjari kwenye hoteli mpya ya Rayvanny Havana.

Iliwashangaza sana mashabiki ambao kwa hakika wana matumaini makubwa kwa wanandoa wapya na wanaopendana hivyo kuwaacha na maoni tofauti.

Naam, Paula amekanusha madai ya mpenzi wake kwa kuweka picha ya msanii huyo ikimiminika na mate juu ya macho yake.

Pia kwenye ukurasa wake wa instagram, Paula amepakia picha yake na Rayvanny na kuwajibu wakosoaji wake kwamba hatamuacha kwani anampeda.

Pia aliendelea na kusema kwamba wakosoaji wake wana wivu.

"Na simuachi nampenda 🥰Wenye wivu endeleeni kupigwa shoti tu 😂😂😂@_therealpaulakajala," Aliandika Paula.


RADIO JAMBO FREQUENCIES

Kisumu 100.1 | Mombasa 92.3 | Nakuru 96.9 | Eldoret 99.5 | Nyeri 99.3 | Nyahururu 97.3 | Webuye 95.3 | Meru 92.7 | Kitui 104.9 | Kibwezi 104.7 | Voi 105.7 | Malindi 98.1 | Lamu 104.7 | Narok 97.3 | Kapenguria 99.7 | Kisii 89.3 | Garissa 104.3 | Maralal 97.3 | Lodwar 92.7


logo© Radio Jambo 2024. All rights reserved