logo

NOW ON AIR

Listen in Live

Ni mrembo!Pascal Tokodi na mkewe wapakia picha ya mwanao kwa mara ya kwanza

Huku akipakia picha ya mtoto wake Pacal aliandika ujube mfupi uliosoma;

image
na Radio Jambo

Habari09 October 2022 - 18:22

Muhtasari


  • Pascal Tokodi na mkewe wapakia picha ya mwanao kwa mara ya kwanza

Aliyekuwa mwigizaji wa kipindi cha Selina kilichokuwa kinapeperushwa kwenye runinga ya Maisha Magic East Pascal Tokodi na mkewe mtangazaji Grace Ekirapa wamepakia picha ya mtoto wao mitandaoni kwa mara ya kwanza.

Wawili hao walibarikiwa na mtoto wa kike mwaka huu.

Huku akipakia picha ya mtoto wake Pacal aliandika ujube mfupi uliosoma;

"Nataka kumtambulisha mtoto wetu kwenu,mikono yake iliiba moyo wangu, na kisha miguu yake ikakimbia nayo," Aliandika.

Mashabiki hawakuficha furaha kwani walimsifia mwanawe Pascall na Grace kwa urembo wa kipekee.

Hizi hapa baadhi ya ujumbe zao;

malkiakaren: ❤️❤️shooo shweeettt

amelbait: Finally we get to meet the pretty girl AJ she is so Adorable😍

milly.njesh: Finally baby AJ,🥰🥰🥰 she's so cute 🥰🥰🥰

ashambusiroo: Very beautiful may God be with her always 🥰😘

wacekemwaura: Sooo cute , wow like father & mother like daughter

mwanamvuli :Yaa Pascal (Nelson)Your baby girl is so cute🔥🔥Congratulations from+255

amelbait: Finally we get to meet the pretty girl AJ she is so Adorable😍

 


RADIO JAMBO FREQUENCIES

Kisumu 100.1 | Mombasa 92.3 | Nakuru 96.9 | Eldoret 99.5 | Nyeri 99.3 | Nyahururu 97.3 | Webuye 95.3 | Meru 92.7 | Kitui 104.9 | Kibwezi 104.7 | Voi 105.7 | Malindi 98.1 | Lamu 104.7 | Narok 97.3 | Kapenguria 99.7 | Kisii 89.3 | Garissa 104.3 | Maralal 97.3 | Lodwar 92.7


logo© Radio Jambo 2024. All rights reserved