logo

NOW ON AIR

Listen in Live

Vera Sidika amsifia Sakaja baada ya kusema haya kuhusu muziki kwenye magari

Kwa Sakaja, suala la watu kulalamika kwa sauti kubwa lilikuwa ni historia.

image
na Radio Jambo

Burudani21 November 2022 - 12:37

Muhtasari


  • Kulingana na video Sakaja anadai kuwa madereva wanaruhusiwa kucheza muziki wenye sauti kubwa kwa magari yao na kwamba abiria wako huru kufanya hivyo

Vera Sidika ni mmoja wa Watu Mashuhuri wa Kenya na pia mwanasosholaiti. Dakika chache zilizopitakupitia kwenye ukurasa wake wa instagram alipakia video ya Gavana wa Nairobi Jonhson Sakaja akizungumzia kuhusu Muziki wenye sauti kubwa kwenye magari ya uchukuzi wa umma.

Vera alijibu kwa kusema kuwa Sakaja ndiye gavana bora zaidi kuwahi kutokea.

"Best governor ever!!! so cool."

Kulingana na video Sakaja anadai kuwa madereva wanaruhusiwa kucheza muziki wenye sauti kubwa kwa magari yao na kwamba abiria wako huru kufanya hivyo.

Kwa Sakaja, suala la watu kulalamika kwa sauti kubwa lilikuwa ni historia.

"Na hii mambo kwenye graffiti na muziki wanasema ni mbaya, iyo ni ufala wa zamani sana. It is part of the culture. Kama mtu anataka matatu haina mziki angojee aingie yenye haina mziki na kama mtu anataka kusema iko na ngoma aingie yenye iko na ngoma. ," Sakaja alisema

 

 


RADIO JAMBO FREQUENCIES

Kisumu 100.1 | Mombasa 92.3 | Nakuru 96.9 | Eldoret 99.5 | Nyeri 99.3 | Nyahururu 97.3 | Webuye 95.3 | Meru 92.7 | Kitui 104.9 | Kibwezi 104.7 | Voi 105.7 | Malindi 98.1 | Lamu 104.7 | Narok 97.3 | Kapenguria 99.7 | Kisii 89.3 | Garissa 104.3 | Maralal 97.3 | Lodwar 92.7


logo© Radio Jambo 2024. All rights reserved